Mahakama ya kijeshi Mashariki mwa
Jamuhuri ya Demokrasi ya Congo imemhukumu kifo Kanali Birocho Nzanzu
baada ya kubainika na makosa ya kutaka kumuua afisa wa jeshi la nchi
hiyo aliyekuwa mstari wa mbele kutokomeza wapiganaji wa M23.
Kanal Mamadou Ndala anayedaiwa kuuawa na njama za Kanal Birocho Nzanzu
| Waaandamaji wakipinga kuuawa kwa Kanal Ndala |
Mahakama imebainisha kuwa Kanali Nzanzu amekuwa akitumiwa na waasi wa ADF kutoka Uganda kuandaa maujaji.