habari za sasa hivi kitaifa,kimataifa,makala,burudanina michezo

Thursday, November 13, 2014

Posted by AMMY YEYOO | 10:02 PM | No comments

Mazishi ya msanii Geez Mabovu ambaye alikuwa maarufu kwenye muziki wa Hiphop Tanzania, yamefanyika leo nyumbani kwao Iringa katika makaburi ya Mlolo.
Mabovu amefariki dunia kwenye hospitali alikokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam akisumbuliwa na maradhi ya kifua.
Ndugu, jamaa marafiki, wasanii na watu mbalimbali wamejitokeza kushiriki katika mazishi hayo
image-13-11-14-06-32-2Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya msaniihuyo.
IMG_3073
IMG_3076

IMG_3081
Msafara wa Mazishi

image-13-11-14-06-32-3
image-13-11-14-06-32

Kaburi
Marafiki Mazishi
image-13-11-14-06-32-1
Baba wa Geez

0 comments:

Post a Comment

Bookmark Us

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter