habari za sasa hivi kitaifa,kimataifa,makala,burudanina michezo

Friday, November 14, 2014

Posted by AMMY YEYOO | 12:56 AM | No comments

t1Watu wawili ambao wanashilikilia rekodi ya mtu mrefu zaidi duniani na mtu mfupi zaidi duniani walikutana kwa mara ya kwanza kwenye maadhimisho ya ‘Guinness World...Record Day’ huko London, Uingereza Nov.13.Mtu mwenye urefu zaidi duniani anaitwa Sultan Kösen kutoka uturuki ana urefu wa futi 8, huku mtu mfupi zaidi aitwaye Chandra Dangi kutoka Nepal ana urefu wa inchi 21.5.
t3

t4
t6
t5
t2

0 comments:

Post a Comment

Bookmark Us

Delicious Digg Facebook Favorites More Stumbleupon Twitter